Rukia maudhui
Kutoka 19:1-2

Israeli Afika Mlima Sinai

Kutoka 19:1-2
1
Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.
2
Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options