Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu War: Cruelty

5 mistari · 45 vipengele

Mistari kuhusu Cruelty

  1. Kwa hiyo uwaache watoto wao waone njaa; uwaache wauawe kwa makali ya upanga. Wake zao wasiwe na watoto, na wawe wajane; waume wao wauawe, nao vijana wao waume wachinjwe kwa upanga vitani.

  2. Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni, na mabikira katika miji ya Yuda.

  3. Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.

  4. Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

  5. Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.