Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Travellers: Saluted no man by the way

2 mistari · 39 vipengele

Mistari kuhusu Saluted no man by the way

  1. Elisha akamwambia Gehazi, “Jikaze viuno, chukua fimbo yangu mkononi mwako na ukimbie. Ikiwa utakutana na mtu yeyote, usimsalimie, na mtu yeyote akikusalimu, usimjibu. Ilaze fimbo yangu juu ya uso wa mtoto.”

  2. Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.