Mistari ya Biblia kuhusu Travellers: Saluted no man by the way
Mistari kuhusu Saluted no man by the way
Elisha akamwambia Gehazi, “Jikaze viuno, chukua fimbo yangu mkononi mwako na ukimbie. Ikiwa utakutana na mtu yeyote, usimsalimie, na mtu yeyote akikusalimu, usimjibu. Ilaze fimbo yangu juu ya uso wa mtoto.”
Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.