Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Christ: Lion of the tribe of Judah
Mistari kuhusu Lion of the tribe of Judah
Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”