Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Christ: Alpha and Omega
Mistari kuhusu Alpha and Omega
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”
Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.