Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Christ: Lamb of God
Mistari kuhusu Lamb of God
Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”