Mistari ya Biblia kuhusu The Wind: Tempest
Mistari kuhusu Tempest
Yeye angeniangamiza kwa dhoruba na kuongeza majeraha yangu pasipo na sababu.
Vitisho humjia kama mafuriko; dhoruba humkumba ghafula usiku.
Ndipo Bwana akatuma upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika.