Mistari ya Biblia kuhusu The Tribe Of Issachar: Bounds of their inheritance
Mistari kuhusu Bounds of their inheritance
Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.