Mistari ya Biblia kuhusu The Second Temple: Resumed by Zerubbabel and Jeshua
Mistari kuhusu Resumed by Zerubbabel and Jeshua
Ndipo Zerubabeli mwana wa Shealtieli na Yeshua mwana wa Yosadaki wakaanza kujenga tena nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Nao manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao, wakiwasaidia.