Mistari ya Biblia kuhusu The Sabbath: Will have his goodness commemorated in the observance of
Mistari kuhusu Will have his goodness commemorated in the observance of
Kumbuka mlikuwa watumwa huko Misri, na Bwana Mungu wenu aliwatoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa. Kwa hiyo Bwana Mungu wako amekuagiza kuiadhimisha siku ya Sabato.