Skip to content

Perga

3 verses

37.0000, 30.9000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Perga

  1. Kisha Paulo na wenzake wakasafiri toka Pafo wakafika Perga huko Pamfilia. Lakini, Yohana Marko akawaacha huko, akarejea Yerusalemu.

  2. Kutoka Perga wakaendelea hadi Antiokia ya Pisidia. Siku ya Sabato wakaingia ndani ya sinagogi, wakaketi.

  3. Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.