Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Perga

3 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kisha Paulo na wenzake wakasafiri toka Pafo wakafika Perga huko Pamfilia. Lakini, Yohana Marko akawaacha huko, akarejea Yerusalemu.

  2. Kutoka Perga wakaendelea hadi Antiokia ya Pisidia. Siku ya Sabato wakaingia ndani ya sinagogi, wakaketi.

  3. Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.