Mistari ya Biblia kuhusu The Sabbath: Rejoice in
Mistari kuhusu Rejoice in
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
“Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato, na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu, kama ukiita Sabato siku ya furaha na siku takatifu ya Bwana ya kuheshimiwa, kama utaiheshimu kwa kutoenenda katika njia zako mwenyewe, na kutokufanya yakupendezayo au kusema maneno ya upuzi,