Mistari ya Biblia kuhusu The Reward of Saints: A kingdom
Mistari kuhusu A kingdom
“Ndipo Mfalme atawaambia wale walioko upande wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu; urithini Ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,