- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu The Levites: Subdivided into 24 courses
Mistari kuhusu Subdivided into 24 courses
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.