Mistari ya Biblia kuhusu The Levites: Numbered separately after the people from a month old
Mistari kuhusu Numbered separately after the people from a month old
Bwana akamwambia Mose katika Jangwa la Sinai,
“Wahesabu Walawi kwa jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi.”
Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama alivyoamriwa na neno la Bwana.