Mistari ya Biblia kuhusu The First Temple: Surrounded with spacious courts
Mistari kuhusu Surrounded with spacious courts
Tena akajenga ua wa ndani safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa.
Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.