Mistari ya Biblia kuhusu The First Temple: Built without the noise of hammers, axe, or any tool
Mistari kuhusu Built without the noise of hammers, axe, or any tool
Katika kujenga Hekalu, yalitumika tu mawe yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna nyundo, patasi au chombo kingine chochote cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo la ujenzi wa Hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.