Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Feast of the Passover: The Lord's Supper instituted at

3 mistari · 43 vipengele

Mistari kuhusu The Lord's Supper instituted at

  1. Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu.”

  2. Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.

  3. Hii ndiyo damu yangu ya Agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.