Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Amalekites: Spoil taken from, consecrated

2 mistari · 31 vipengele

Tafuta "The Amalekites"

Mistari kuhusu Spoil taken from, consecrated

  1. Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:

  2. yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.