Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Amalekites: Spoil taken from, consecrated

2 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Spoil taken from, consecrated

  1. Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:

  2. yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.