Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Amalekites: Pillaged and burned Ziklag

2 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Pillaged and burned Ziklag

  1. Daudi na watu wake wakafika Siklagi siku ya tatu. Basi Waamaleki walikuwa wamevamia Negebu na Siklagi. Wakawa wameshambulia mji wa Siklagi na kuuteketeza kwa moto,

  2. nao wakawa wamewachukua mateka wanawake pamoja na wote waliokuwamo humo, vijana na wazee. Hawakuua yeyote, bali waliwachukua wakaenda zao.