Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Amalekites: Part of their possessions taken by Ephraim

2 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Part of their possessions taken by Ephraim

  1. Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki; Benyamini akiwa miongoni mwa watu waliokufuata. Kutoka Makiri wakashuka viongozi, na kutoka Zabuloni wale washikao fimbo ya jemadari.

  2. Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.