Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Amalekites: Agag, king of, slain by Samuel

2 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Agag, king of, slain by Samuel

  1. Ndipo Samweli akasema, “Niletee Agagi mfalme wa Waamaleki.” Agagi akaja kwake kwa ujasiri, akifikiri, “Hakika uchungu wa mauti umepita.”

  2. Lakini Samweli akasema, “Kama upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto wao, ndivyo mama yako atakavyokuwa hana mtoto miongoni mwa wanawake.” Naye Samweli akamuua Agagi mbele za Bwana huko Gilgali.