Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Tappuah

5 mistari · 3 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja

  2. Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,

  3. Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.

  4. (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)

  5. Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.