Mistari ya Biblia kuhusu Tappuah
Mistari muhimu ya Biblia
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,
Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
(Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)
Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.