Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Shaul

5 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

  2. Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.

  3. kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

  4. Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

  5. Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.