Skip to content

Jachin

4 mistari · 6 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Jarib

Mistari inayomtaja Jachin

  1. Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

  2. Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.

  3. Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

  4. Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.