Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Nemuel

3 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.

  2. Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

  3. Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.