Mistari ya Biblia kuhusu Nemuel: 2. A son of Simeon
Mistari kuhusu 2. A son of Simeon
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.