Mistari ya Biblia kuhusu Seeking God: Afflictions designed to lead to
Mistari kuhusu Afflictions designed to lead to
Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.
Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
Kisha nitarudi mahali pangu mpaka watakapokubali kosa lao. Nao watautafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”