Mistari ya Biblia kuhusu Reviling and Reproaching: Ministers should not fear
Mistari kuhusu Ministers should not fear
Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge. Usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni nyumba ya uasi.