Mistari ya Biblia kuhusu Reviling and Reproaching: Jews
Mistari kuhusu Jews
Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao
na kusema, “Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama wewe ni Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani.”
Wayahudi wakamjibu Yesu, “Je, hatuko sahihi tunaposema ya kwamba wewe ni Msamaria na ya kwamba una pepo mchafu?”