Mistari ya Biblia kuhusu Reviling and Reproaching: Blessedness of enduring, for Christ's sake
Mistari kuhusu Blessedness of enduring, for Christ's sake
“Heri ninyi watu watakapowashutumu, na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya aina zote kwa uongo kwa ajili yangu.
Mmebarikiwa ninyi, watu watakapowachukia, watakapowatenga na kuwatukana na kulikataa jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.