Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Repentance: The Prodigal Son

3 mistari · 65 vipengele

Mistari kuhusu The Prodigal Son

  1. “Lakini alipozingatia moyoni mwake, akasema, ‘Ni watumishi wangapi walioajiriwa na baba yangu ambao wana chakula cha kuwatosha na kusaza, bali mimi hapa nakufa kwa njaa!

  2. Nitaondoka na kurudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimetenda dhambi mbele za Mungu na mbele yako.

  3. Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’