Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Repentance: Ahab

3 mistari · 65 vipengele

Mistari kuhusu Ahab

  1. Ahabu aliposikia maneno haya, akararua nguo zake, akavaa nguo za gunia na kufunga. Akalala na kujifunika nguo za gunia na kwenda kwa unyenyekevu.

  2. Ndipo neno la Bwana lilipomjia Eliya Mtishbi kusema,

  3. “Umeona jinsi Ahabu alivyojinyenyekeza mbele zangu? Kwa kuwa amejishusha mwenyewe, sitaleta maafa haya wakati akiwa hai, lakini nitayaleta juu ya nyumba yake katika siku za mwanawe.”