Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Morning: The second part of the day at the creation

6 mistari · 27 vipengele

Mistari kuhusu The second part of the day at the creation

  1. Mungu akaiita nuru “mchana,” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

  2. Mungu akaiita hiyo nafasi “anga.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.

  3. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tatu.

  4. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.

  5. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano.

  6. Mungu akaona vyote alivyoumba, na tazama, ilikuwa vizuri sana. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.