Mistari ya Biblia kuhusu Miracles: The Messiah was expected to perform
Mistari kuhusu The Messiah was expected to perform
Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake
ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
Nao watu wengi wakamwamini, wakasema, “Je, Kristo atakapokuja, atafanya miujiza mikuu zaidi kuliko aliyoifanya mtu huyu?”