Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Miracles Through Evil Agents: Simon Magus

3 mistari · 10 vipengele

Mistari kuhusu Simon Magus

  1. Basi mtu mmoja jina lake Simoni alikuwa amefanya uchawi kwa muda mrefu katika mji huo akiwashangaza watu wote wa Samaria. Alijitapa kwamba yeye ni mtu mkuu,

  2. nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’ ”

  3. Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.