Skip to content

En-dor

3 verses

32.6200, 35.3800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja En-dor

  1. Katika Isakari na Asheri Manase alikuwa na miji pia: Beth-Shani, Ibleamu na watu wa Dori, Endori, Taanaki na Megido, pamoja na vijiji vyote vinavyohusika na miji hiyo (ya tatu katika orodha ni Nafothi).

  2. Basi Sauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mwanamke mwaguzi ili nimwendee, nipate kuuliza kwake.” Watumishi wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja huko Endori.”

  3. ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.