Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Medo-Persian Kingdom: Ruled by, absolute kings

3 mistari · 34 vipengele

Mistari kuhusu Ruled by, absolute kings

  1. Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa.

  2. Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”

  3. Kisha Harbona, mmoja wa matowashi wanaomtumikia mfalme, akasema, “Mahali pa kuangika watu penye urefu wa mita ishirini na mbili pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai, ambaye alizungumza ili kumsaidia mfalme.” Mfalme akasema, “Mwangikeni juu yake!”