Mistari ya Biblia kuhusu Medo-Persian Kingdom: Conquest of Babylon
Mistari kuhusu Conquest of Babylon
Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari: Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini, mshambuliaji anakuja kutoka jangwani, kutoka nchi inayotisha.
Nimeonyeshwa maono ya kutisha: Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara. Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi! Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”