Mistari ya Biblia kuhusu Measures: (Measuring the dust of the earth,) of God's greatness
Mistari kuhusu (Measuring the dust of the earth,) of God's greatness
Ni nani aliyepima maji ya bahari kwenye konzi ya mkono wake, au kuzipima mbingu kwa shibiri yake? Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia katika kikapu, au kupima milima kwenye kipimio na vilima kwenye mizani?