Mistari ya Biblia kuhusu Masters: Not to rule over them with rigour
Mistari kuhusu Not to rule over them with rigour
Usiwatawale kwa ukatili, lakini utamcha Mungu wako.
Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.