Mistari ya Biblia kuhusu Masters: Egyptians
Mistari kuhusu Egyptians
kwa hiyo wakawatumikisha kwa ukatili.
Wakafanya maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na kufyatua matofali, na kazi zote za mashambani; katika kazi zao zote ngumu, Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili.