Mistari ya Biblia kuhusu Hermon: Called Sirion
Mistari kuhusu Called Sirion
Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)