Mistari ya Biblia kuhusu Hermon
Mistari muhimu ya Biblia
Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)