Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Elizabeth

56 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.”

  2. Maria akakaa na Elizabeti karibu miezi mitatu, kisha akarudi nyumbani kwake.

  3. Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto mwanaume.

  4. Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Bwana alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.

  5. Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zekaria, ambalo ndilo jina la baba yake.

  6. Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yohana.”