Mistari ya Biblia kuhusu Cush
Mistari muhimu ya Biblia
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.