Mistari ya Biblia kuhusu Cities: Often fortified by art
Mistari kuhusu Often fortified by art
Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:
Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,
Beth-Suri, Soko, Adulamu,
Gathi, Maresha, Zifu,
Adoraimu, Lakishi, Azeka,
Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.