Mistari ya Biblia kuhusu Canaanites: Defeat the Israelites
Mistari kuhusu Defeat the Israelites
Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa Bwana.
Hivyo Bwana akawatia mikononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori. Jemadari wa jeshi lake alikuwa Sisera, aliyeishi huko Haroshethi-Hagoyimu
Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma yapatayo 900, naye alikuwa amewatesa Waisraeli kwa ukatili kwa muda wa miaka ishirini, Waisraeli wakamlilia Bwana wakaomba msaada.