Mistari ya Biblia kuhusu Adah: 2. Wife of Esau
Mistari kuhusu 2. Wife of Esau
Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.