Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Adah: 2. Wife of Esau

3 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu 2. Wife of Esau

  1. Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

  2. Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

  3. Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.